Sunday, 1 May 2016

Memphis Depay aondoka Man United

winga mshambuliaji wa klabu ya Man united ya uingereza Memphis Depay jina  lake limeingia kwenye headlines tena baada kufanya kitendo ambacho huwenda kikawa na maana ya kuwashiria yeye kukosa furaha ndani ya Man united .Memphis amewashangaza wengi hususani mashabiki wake wa Man United wanao Mfollow katika acout yake ya  Instagram baada kuona wingi hyo kufuta picha zote  zinazo husu Man United ambazo aliwah ku post.

No comments:

Post a Comment