Sunday, 1 May 2016

Harmonize kufanya balaa Geita jana April30 2016

Msanii Harmonize chini ya usimamizi mzuri wa Diamond platnam jana kupiga bonge la show geita. Harmonize alisema" Baada ya kumaliza showa nilijarib kugusia wimbo wa msanii mwenzangu ambae npo nae kwenye campony moja ya WCb, kikweli inaonyesha jinsi gani watu wana miss kuona showa yake ya kwanza akiwa jukwaani na kibao chake cha HUKU KWETU Rayvany(Raymond) alisema Harmonize

No comments:

Post a Comment