Sunday, 1 May 2016

Jambazi sugu lakamatwa Posta wawili wakimbia....Noah yakamatwa

Kijana mmoja anae sadikika jambazi akamatwa jijini Dar se salaam maeneo ya posta ,baada kutaka kumtapeli mama mmoja anae fanya kazi tigo pesa. Mashahidi waliokuwepo kwenye eneo hilo wanasema alikuwa analengo la kutaka kuweka pesa kiasi cha shilingi elf5. wakati yule dada anahesabu pesa zake kwanza ndipo yule jambazi akakwapua na kukimbia kwenye gari aina ya Noah, na kumrushia mtu alie kuwepo nyuma ya hilo gari. Wakati mchezo unaendelea dereva akajianda kuwasha gari ndipo raia wakamchomoa dereva na kumpiga na yule alieiba pesa wakamkamata . kama unavyo ona kwenye pcha


No comments:

Post a Comment