Breaking news Jengo lenye ghorofa sita katika mji wa Nairobi laporomoka na kusababisha vifo
Mvua zinazoendelea kunyesha mjini Nairobi zimesababisha vifo vya watu wapatao 15 baada ya Jengo la ghorofa kuporomoka na kati yao 7 wamefariki baada Jengo kuwaporomokea usiku wa Ijumaa katika eneo la khuruma na zaidi ya watu 120 wameokolewa.
No comments:
Post a Comment