Saturday, 30 April 2016

Baada ya tetesi za usaliti Beyonce na Jay z Bado wanacheka pamoja

Hivi karibuni kulikuwa na story kibao Kuhusu usaliti uliofanywa na Jay Z na mwanamke ambaye alie tajwa kwa jina la Beck kwenye wimbo wa Sory wa beyonce. Hivi karibuni katika show ya Miami ya beyonce. Jay alionekana kuwa na mwanamke wake bila kusumbuliwa kabisa na story zinazoendelea juu yake.

No comments:

Post a Comment