Saturday, 30 April 2016
Mbunge Prof. Anna Tibaijuka amtaka Raisi Magufuli ache kutumbua nyama akizani ni majipu
Amesema "naafiki kuanzishwa mahakama ya mafisadi.labda itasaidia kukamatwa na kushtakiwa mafisadi wenyewe.labda zitaachwa kukamuliwa nyama zikizaniwa majipu. Alisema Prof Tibaijuka
Morinyo kudondoka Man United
Baada ya kimya kingi wiki hii anatarajia kuachia ngoma mpya
Msaniii alietamba na ngoma ya Shikolobo (shetta) ndani ya wiki hii anatarajia kuachia New single Kabisa chini ya usimamizi wa Johbanjo studio. Wimbo huo utajulikana kwa jina la NAMJUA
Barcelona yakabiliwa na upinzani mzito
Klabu ya barcelona italazimika kishinda mechi zake zote za mwisho ili kishinda taji la Laliga kwa kuwa huwenda wapinzani wao wasipoteze point hata moja kulingana na kocha Kuis Enrique
Furaha ya ushindi wa Yanga leo April 30 /2016
Leo Yanga ilikuwa uwanja wa ccm kilumba mwanza kucheza mchezo wao wa 26 wa ligi kuu ya Tanzania bara zidi ya wenyeji wao Toto African. Na Yanga kuibuka kidedea kwa magoli 2 kwa 1
Breaking news Jengo lenye ghorofa sita katika mji wa Nairobi laporomoka na kusababisha vifo
Mvua zinazoendelea kunyesha mjini Nairobi zimesababisha vifo vya watu wapatao 15 baada ya Jengo la ghorofa kuporomoka na kati yao 7 wamefariki baada Jengo kuwaporomokea usiku wa Ijumaa katika eneo la khuruma na zaidi ya watu 120 wameokolewa.
Baada ya tetesi za usaliti Beyonce na Jay z Bado wanacheka pamoja
Hivi karibuni kulikuwa na story kibao Kuhusu usaliti uliofanywa na Jay Z na mwanamke ambaye alie tajwa kwa jina la Beck kwenye wimbo wa Sory wa beyonce. Hivi karibuni katika show ya Miami ya beyonce. Jay alionekana kuwa na mwanamke wake bila kusumbuliwa kabisa na story zinazoendelea juu yake.
Diamond na meneja wake hakuwa nyuma leo kwenye kampen ya usafi
Breaking news Abiria wanusurika na ajali ya ndege hii leo mjini Bukoba
Watu kadhaa wanusurika baada ya shirika la ndege Auric Air waliokuwa wakisafiria kupata ajali katika uwanja wa ndege manispaa ya Bukoba. Ndege hio ilipata pancha tayair ya nyuma upande wa kulia ilipo kuwa inatuwa , kwa umahir wa rubani ameweza kuicontrow kama unavyo ona kwenye picha. Ndege hio ilikuwa ikisafiri toka jiji mwanza tukio hilo limetokea leoo majira ya saa4 asubuh April 30-2016
Mengi yalioandikwa kuhuhusu Morinyo
Bado headlines za kocha wa sasa wa Man united Luois Van Gaal kutimuliwa ndan ya Man united na nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa zamani wa Chelsea Jose Morinyo, zinazidi kuchukua Headlines.Huu ni mtihani sana na majibu yake Yatajulikana mwisho wa msimu baada ligi kuisha
Subscribe to:
Comments (Atom)













