Msaniii wa miondoka ya style nyingi ikiwemo Bongo fleva ,Mduara hata zile za Arabik style Kwa jina anajulikana Hammer q leo kachia kibao chake kipya kabisa chenye style ya tofaut na ngoma zake zote . Anahitaj sapport ya kutosha kutoka kwenu mashabiki - ngoma inaitwa Hatotokea by Hammer Q